Newspapers

Kenya leo Agosti 15, 1984, Issue No. 434

Volume Ref: KL_1984_M010355

  • Rais Moi aliamuru sheria ya ujenzi zilizotungwa enzi za mkoloni zifutiliwe mbali mara moja kwa sababu hazifai kwa sasa.
  • Rais aliagiza Wizara ya Serikali za Wilaya ichunguze sheria zinazohusu ujenzi wa nyumba katika miji ili kutoa nafasi kwa ujenzi wa nyumba za gharama ndogo ndogo.
  • Alisema kuwa sheria za mkoloni ziliwapatia wale wenye mapato ya juu na ni lazima watu wenye mapato ya chini wapatiwe nafasi ya kujijengea nyumba pia.

See English translation.

  • President Moi has ordered the construction laws made during the colonial era to be canceled immediately because they are not suitable now.
  • The President instructed the Ministry of District Governments to examine the laws regarding the construction of houses in cities so that they can provide space for the construction of low-cost houses.
  • He said that colonial laws provided for those with high incomes and it is necessary people with low income should be given a chance to build a house as well.
error: Content is protected !!